The Fred Hollows Foundation reposted this
#AUKE60YEARS Celebrating 60 years of Australia and Kenya diplomatic relations. In East Africa, a significant majority of blindness cases can be avoided or addressed through simple and affordable interventions. Since 1992, The Fred Hollows Foundation, founded by the late New Zealand-Australian ophthalmologist Fred Hollows, has restored the eyesight of countless individuals across Eritrea, Kenya, Uganda, Rwanda, Tanzania & Ethiopia and increased access to equitable cataract services. His life dedication to ending avoidable blindness and improving eye health, especially for marginalised communities, continues through his foundation. For more stories about our shared history, visit our Facebook gallery: bit.ly/3XsQYiq *** kuadhimisha miaka 60 ya kidiplomasia kati ya Australia na Kenya. Katika Afrika Mashariki, idadi kubwa ya visa vya upofu vinaweza kuepukwa au kushughulikiwa kupitia afua rahisi na zinazoweza kumudu. Tangu mwaka wa 1992, The Fred Hollows Foundation , ulioanzishwa na marehemu daktari wa macho wa New Zealand-Australia Fred Hollows, umerejesha uwezo wa kuona wa watu wengi kote Eritrea, Kenya, Uganda, Rwanda, Tanzania & Ethiopia na kuongeza upatikanaji wa huduma sawa za mtoto wa jicho. Kujitolea kwake katika kukomesha upofu unaoweza kuepukwa na kuboresha afya ya macho, haswa katika jamii zilizotengwa, kunaendelea kwa kupitia taasisi yake. Kwa hadithi zaidi kuhusu historia yetu, tembelea mtandao wetu wa kijamii ya Facebook: bit.ly/3XsQYiq The Fred Hollows Foundation Australian Department of Foreign Affairs and Trade
Festus Muendo - a wonderful nod to our collaborations!
Territory Account Manager @ Com-X | Citrix Certified Sales Professional (CCSP)
3wWhat an incredible milestone!